390 – Imepokelewa kwamba Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
الصلاةُ خيرُ موضوعٍ، فمَن استطاع أنْ يستكثِرَ فَلْيَسْتَكْثِرْ
“Swalah ni maudhui bora kabisa. Hivyo basi, yule awezaye kukithirisha na akithirishe.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw”.
[1] Nzuri kupitia zingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/280)
- Imechapishwa: 28/11/2023
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
390 – Imepokelewa kwamba Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
الصلاةُ خيرُ موضوعٍ، فمَن استطاع أنْ يستكثِرَ فَلْيَسْتَكْثِرْ
“Swalah ni maudhui bora kabisa. Hivyo basi, yule awezaye kukithirisha na akithirishe.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw”.
[1] Nzuri kupitia zingine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/280)
Imechapishwa: 28/11/2023
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/08-hadiyth-swalah-ni-maudhui-bora-kabisa/