339 – Hudhayfah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من تَفَلَ تُجاه القِبلة؛ جاء يومَ القيامةِ وتَفْلُه بين عَينَيهِ، ومن أكل من هذه البقلةِ الخبيثة؛ فلا يقربَنَّ مسجدنا، (ثلاثاً)
“Mwenye kutema mate upande wa Qiblah atakuja siku ya Qiyaamah na mate yake mbele ya macho yake, na anayekula kutoka kwenye mboga hii mbaya basi asiukaribie msikiti wetu.” Alisema hivo mara tatu.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/257)
- Imechapishwa: 15/12/2023
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
339 – Hudhayfah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من تَفَلَ تُجاه القِبلة؛ جاء يومَ القيامةِ وتَفْلُه بين عَينَيهِ، ومن أكل من هذه البقلةِ الخبيثة؛ فلا يقربَنَّ مسجدنا، (ثلاثاً)
“Mwenye kutema mate upande wa Qiblah atakuja siku ya Qiyaamah na mate yake mbele ya macho yake, na anayekula kutoka kwenye mboga hii mbaya basi asiukaribie msikiti wetu.” Alisema hivo mara tatu.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/257)
Imechapishwa: 15/12/2023
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/08-hadiyth-mwenye-kutema-mate-upande-wa-qiblah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)