Sharti ya sita ni kukoma kwa kisababishi cha kutia wudhuu´, kwa maana ya kwamba kusita kwa kile kinachobatilisha wudhuu´, nacho ni ile hali ya hadathi. Kwa hiyo mtu asubiri mpaka kile kinachotoka katika njia mbili kisimame kabisa. Kwa maana ya kwamba asianze kutawadha kabla kukoma.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 10
- Imechapishwa: 30/04/2026
Sharti ya sita ni kukoma kwa kisababishi cha kutia wudhuu´, kwa maana ya kwamba kusita kwa kile kinachobatilisha wudhuu´, nacho ni ile hali ya hadathi. Kwa hiyo mtu asubiri mpaka kile kinachotoka katika njia mbili kisimame kabisa. Kwa maana ya kwamba asianze kutawadha kabla kukoma.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 10
Imechapishwa: 30/04/2026
https://firqatunnajia.com/07-sharti-ya-sita-ya-wudhuu-ni-kusitisha-kile-kinachobatilisha-wudhuu/