Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia dawa katika funga kupitia njia ya tupu ya nyuma, kunusa mapito ya mkojo au ya kizazi au dawa za kioevu pamoja na kuzingatia kwamba nyenzo za dawa zinafika kwenye damu?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba zinazowekwa kupitia njia ya tupu ya nyuma hazifunguzi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ashyaa´ laa tufsid-is-Swawm, uk. 08
- Imechapishwa: 31/03/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia dawa katika funga kupitia njia ya tupu ya nyuma, kunusa mapito ya mkojo au ya kizazi au dawa za kioevu pamoja na kuzingatia kwamba nyenzo za dawa zinafika kwenye damu?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba zinazowekwa kupitia njia ya tupu ya nyuma hazifunguzi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ashyaa´ laa tufsid-is-Swawm, uk. 08
Imechapishwa: 31/03/2021
https://firqatunnajia.com/07-mfungaji-kupitisha-dawa-njia-ya-tupu-ya-nyuma/