744- al-Hasan ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watibuni wagonjwa wenu kwa swadaqah.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud katika “al-Maraasiyl”, at-Twabaraaniy, al-Bayhaqiy na wengineo kupitia kwa kikosi cha Maswahabah kwa cheni ilioungana kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu alayhi wa sallam). Ni yenye kufanana zaidi kusimuliwa kwa kukosekana Swahabah katika cheni ya wapokezi.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/458)
- Imechapishwa: 15/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
744- al-Hasan ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watibuni wagonjwa wenu kwa swadaqah.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud katika “al-Maraasiyl”, at-Twabaraaniy, al-Bayhaqiy na wengineo kupitia kwa kikosi cha Maswahabah kwa cheni ilioungana kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu alayhi wa sallam). Ni yenye kufanana zaidi kusimuliwa kwa kukosekana Swahabah katika cheni ya wapokezi.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/458)
Imechapishwa: 15/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-watibuni-wagonjwa-wenu-kwa-swadaqah/