730- Ka´b bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wakome watu wanaosikia wito siku ya ijumaa kisha hawauendei au Allaah atapiga muhuri juu nyoyo zao kisha watakuwa miongoni mwa waghafilikaji.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika ”al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/452)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
730- Ka´b bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wakome watu wanaosikia wito siku ya ijumaa kisha hawauendei au Allaah atapiga muhuri juu nyoyo zao kisha watakuwa miongoni mwa waghafilikaji.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika ”al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/452)
Imechapishwa: 26/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-wakome-watu-wanaosikia-wito-siku-ya-ijumaa-kisha-hawauendei/