103- ´Amr bin Shu´ayb amesimulia kutoka kwa baba yake ambaye naye amesimulia kutoka kwa baba yake kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si katika sisi yule asiyewahurumia wadogo wetu na akatambua utukufu wa wakubwa wetu.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy na Abu Daawuud isipokuwa yeye amesema:
“… na akatambua haki ya wakubwa wetu… “
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/152)
- Imechapishwa: 02/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
103- ´Amr bin Shu´ayb amesimulia kutoka kwa baba yake ambaye naye amesimulia kutoka kwa baba yake kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si katika sisi yule asiyewahurumia wadogo wetu na akatambua utukufu wa wakubwa wetu.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy na Abu Daawuud isipokuwa yeye amesema:
“… na akatambua haki ya wakubwa wetu… “
[1] Nzuri na Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/152)
Imechapishwa: 02/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-si-katika-sisi-yule-asiyewahurumia-wadogo-wetu/