1069- ´Abdullaah bin al-Haarith amesimulia kutoka kwa mtu mmoja katika Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Niiliingia kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati alipokuwa anakula daku. Akasema: “Ni baraka aliyokupeni Allaah. Hivyo msiiache.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/620)
- Imechapishwa: 23/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1069- ´Abdullaah bin al-Haarith amesimulia kutoka kwa mtu mmoja katika Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Niiliingia kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati alipokuwa anakula daku. Akasema: “Ni baraka aliyokupeni Allaah. Hivyo msiiache.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/620)
Imechapishwa: 23/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-ni-baraka-aliyokupeni-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
