5- Miongoni mwa sababu kubwa za kukifungua kifua na kukifanya kuwa na utulivu ni kumtaja Allaah kwa wingi. Hakika kitendo hicho kina athari kubwa ya kukifungua kifua na kukituliza na pia kuondosha msongo wa mawazo na misononeko yake. Amesema (Ta´ala):
أَلَا بِذِكْرِ اللَّـهِ تَطْمَئِنُّ الْقُلُوبُ
“Zindukeni! Kwa kumtaja Allaah nyoyo hutulia!”[1]
Kumtaja Allaah kuna athari kubwa ya kufikia malengo haya kwa njia yake ya kipekee na pia kutokana na zile thawabu na ujira ambao mja anataraji.
[1] 13:28
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 21
- Imechapishwa: 10/06/2020
5- Miongoni mwa sababu kubwa za kukifungua kifua na kukifanya kuwa na utulivu ni kumtaja Allaah kwa wingi. Hakika kitendo hicho kina athari kubwa ya kukifungua kifua na kukituliza na pia kuondosha msongo wa mawazo na misononeko yake. Amesema (Ta´ala):
أَلَا بِذِكْرِ اللَّـهِ تَطْمَئِنُّ الْقُلُوبُ
“Zindukeni! Kwa kumtaja Allaah nyoyo hutulia!”[1]
Kumtaja Allaah kuna athari kubwa ya kufikia malengo haya kwa njia yake ya kipekee na pia kutokana na zile thawabu na ujira ambao mja anataraji.
[1] 13:28
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 21
Imechapishwa: 10/06/2020
https://firqatunnajia.com/06-sababu-ya-tano-ya-maisha-mazuri-kumtaja-allaah-kwa-wingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)