Swali 06: Tunawasikia watu wengi wakitamka nia kwa sauti wakati wanapoingia ndani ya swalah. Ni ipi hukumu? Je, ni kitu kina msingi katika Shari´ah?
Jibu: Hakuna msingi wa kutamka kwa sauti nia katika Shari´ah takasifu. Ni kitu hakikuhifadhiwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala kutoka kwa Maswahabah zake (Radhiya Allaahu ´anhum) kutamka nia kwa sauti wakati wanapoingia ndani ya swalah. Hakika si venginevyo nia mahali pake ni moyoni. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika si venginevyo matendo yanategemea nia na kila mmoja atalipwa kutokana na vile alivyonuia.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim kupitia kwa kiongozi wa waumini ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 07
- Imechapishwa: 09/08/2022
Swali 06: Tunawasikia watu wengi wakitamka nia kwa sauti wakati wanapoingia ndani ya swalah. Ni ipi hukumu? Je, ni kitu kina msingi katika Shari´ah?
Jibu: Hakuna msingi wa kutamka kwa sauti nia katika Shari´ah takasifu. Ni kitu hakikuhifadhiwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala kutoka kwa Maswahabah zake (Radhiya Allaahu ´anhum) kutamka nia kwa sauti wakati wanapoingia ndani ya swalah. Hakika si venginevyo nia mahali pake ni moyoni. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika si venginevyo matendo yanategemea nia na kila mmoja atalipwa kutokana na vile alivyonuia.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim kupitia kwa kiongozi wa waumini ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 07
Imechapishwa: 09/08/2022
https://firqatunnajia.com/06-nia-ya-swalah-haitamkwi-kwa-sauti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)