6- Kuomba du´aa kwa wingi
Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule ambaye katika nyinyi amefunguliwa mlango wa du´aa basi amefunguliwa milango ya rehema. Hakuna kitu ambacho Allaah aliombwa anachopenda kama kuombwa usalama.”
Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Du´aa inanufaisha kwa yenye kuteremka na ambayo hayakushuka. Hivyo basi, enyi wa Allaah, lazimianeni na du´aa!”[1]
[1] at-Tirmidhiy na wengineo.
- Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 10
- Imechapishwa: 01/04/2020
6- Kuomba du´aa kwa wingi
Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule ambaye katika nyinyi amefunguliwa mlango wa du´aa basi amefunguliwa milango ya rehema. Hakuna kitu ambacho Allaah aliombwa anachopenda kama kuombwa usalama.”
Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Du´aa inanufaisha kwa yenye kuteremka na ambayo hayakushuka. Hivyo basi, enyi wa Allaah, lazimianeni na du´aa!”[1]
[1] at-Tirmidhiy na wengineo.
Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 10
Imechapishwa: 01/04/2020
https://firqatunnajia.com/06-kinga-ya-sita-ya-janga-la-corona-duaa-kwa-wingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)