285 – Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
يُبعثُ صاحب النخامة في القبلة يوم القيامة وهى في وجهه
“Yule mwenye kutema makohozi upande wa Qiblah atafufuliwa siku ya Qiyaamah na akiwa nayo usoni mwake[1].”[2]
Ameipokea al-Bazzaar, Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake, na hili ni tamko lake, na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Alama ya unyonge, dharau na kufanya uzembe mbele ya Mola wake akiwa anaswali kwenye Nyumba ya Mola Wake.
[2] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/235)
- Imechapishwa: 15/11/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
285 – Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
يُبعثُ صاحب النخامة في القبلة يوم القيامة وهى في وجهه
“Yule mwenye kutema makohozi upande wa Qiblah atafufuliwa siku ya Qiyaamah na akiwa nayo usoni mwake[1].”[2]
Ameipokea al-Bazzaar, Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake, na hili ni tamko lake, na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Alama ya unyonge, dharau na kufanya uzembe mbele ya Mola wake akiwa anaswali kwenye Nyumba ya Mola Wake.
[2] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/235)
Imechapishwa: 15/11/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-yule-mwenye-kutema-makohozi-upande-wa-qiblah-atafufuliwa-siku-ya-qiyaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)