4- Sifa ya nne: Mashaytwaan wale waasi wanafungwa minyororo[1] na wanashindwa kuyafanya yale waliokuwa wanaweza kuwafanyia waja wa Allaah wema katika kuwapotosha kutokamana na haki na kuwazuia kutokamana na kheri. Hii ni njia moja wapo ya Allaah kuwasaidia kwa kuwazuilia adui yao ambaye analingania kundi lake ili wawe miongoni mwa watu wa Motoni. Kwa ajili hiyo ndio maana utaona waja wema wana shauku katika mambo ya kheri na kujiepusha na shari katika mwezi huu zaidi kuliko wakati mwingine.
[1] al-Bukhaariy na na Muslim.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 10
- Imechapishwa: 02/04/2020
4- Sifa ya nne: Mashaytwaan wale waasi wanafungwa minyororo[1] na wanashindwa kuyafanya yale waliokuwa wanaweza kuwafanyia waja wa Allaah wema katika kuwapotosha kutokamana na haki na kuwazuia kutokamana na kheri. Hii ni njia moja wapo ya Allaah kuwasaidia kwa kuwazuilia adui yao ambaye analingania kundi lake ili wawe miongoni mwa watu wa Motoni. Kwa ajili hiyo ndio maana utaona waja wema wana shauku katika mambo ya kheri na kujiepusha na shari katika mwezi huu zaidi kuliko wakati mwingine.
[1] al-Bukhaariy na na Muslim.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 10
Imechapishwa: 02/04/2020
https://firqatunnajia.com/05-sifa-ya-nne-nzuri-kwa-mfungaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)