273 – ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من بنى لله مسجداً؛ بنى الله له بيتاً في الجنة أوسَع منه
“Yeyote atakayejenga msikiti kwa ajili ya Allaah, basi Allaah atamjengea nyumba Peponi ambayo ni pana zaidi kuliko hiyo.”
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi laini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/228)
- Imechapishwa: 09/03/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
273 – ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من بنى لله مسجداً؛ بنى الله له بيتاً في الجنة أوسَع منه
“Yeyote atakayejenga msikiti kwa ajili ya Allaah, basi Allaah atamjengea nyumba Peponi ambayo ni pana zaidi kuliko hiyo.”
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi laini.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/228)
Imechapishwa: 09/03/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-yeyote-atakayejenga-msikiti-kwa-ajili-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)