1057- Ka´b bin ´Aaswim al-Ash´ariy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Si katika wema kufunga safarini.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy na Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi ambayo ni Swahiyh.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/616)
- Imechapishwa: 22/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1057- Ka´b bin ´Aaswim al-Ash´ariy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Si katika wema kufunga safarini.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy na Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi ambayo ni Swahiyh.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/616)
Imechapishwa: 22/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-si-katika-wema-kufunga-safarini/