1056- ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisafiri na akatua mahala pamoja na Maswahabah zake. Kundi la watu wakamfanyia kibanda rafiki yao ambaye alikuwa amefunga. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akampitia ambapo akasema: “Ana nini rafiki yenu? Akahisi maumivu?” Wakasema: “Hapana, ee Mtume wa Allaah, lakini amefunga.” Siku hiyo kulikuwa na upepo mkali. Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Si wema kufunga katika safari.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”.
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/616)
- Imechapishwa: 22/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1056- ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisafiri na akatua mahala pamoja na Maswahabah zake. Kundi la watu wakamfanyia kibanda rafiki yao ambaye alikuwa amefunga. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akampitia ambapo akasema: “Ana nini rafiki yenu? Akahisi maumivu?” Wakasema: “Hapana, ee Mtume wa Allaah, lakini amefunga.” Siku hiyo kulikuwa na upepo mkali. Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Si wema kufunga katika safari.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”.
[1] Nzuri na Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/616)
Imechapishwa: 22/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-si-wema-kufunga-katika-safari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)