Swali 04: Ni ipi hukumu ya kuwasomea Qur-aan wafu na kuweka msahafu juu ya tumbo lake[1]?
Jibu: Kuwasomea Qur-aan wafu au katika kaburi ni jambo halina msingi sahihi. Bali hilo ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah. Bali ni katika Bid´ah. Vivo hivyo kuweka msahafu juu ya tumbo lake ni kitu hakina msingi na ni kitu hakikuwekwa katika Shari´ah. Baadhi ya wanazuoni wamesema kuwekwe chuma au kitu kingine kizito juu ya tumbo lake baada ya kufa kwake ili lisivimbe.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/95).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 13
- Imechapishwa: 10/12/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)