Maimamu wengi wa misikiti katika Tarawiyh wanaswali swalah ambayo hawaielewi na wala hawafanyi utulivu katika Rukuu´ wala Sujuud. Utulivu ni nguzo. Kinachotakikana katika swalah ni kuuhudhurisha moyo mbele ya Allaah (Ta´ala) na kuwaidhika na maneno ya Allaah yanaposomwa, kitu ambacho hakipatikani katika haraka inayochukiza.
Ingawa kuswali Rak´ah kumi na moja zilizo na kisimamo kirefu na utulivu ndio bora kuliko kuswali Rak´ah ishirini zilizo na haraka inayochukiza. Kwa sababu moyo na roho ya swalah ni kuuelekeza kwa Allaah (´Azza wa Jall). Pengine kidogo kikawa chenye kheri kuliko kingi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: l-Mulakhasw al-Fiqh (01/169)
- Imechapishwa: 08/05/2021
Maimamu wengi wa misikiti katika Tarawiyh wanaswali swalah ambayo hawaielewi na wala hawafanyi utulivu katika Rukuu´ wala Sujuud. Utulivu ni nguzo. Kinachotakikana katika swalah ni kuuhudhurisha moyo mbele ya Allaah (Ta´ala) na kuwaidhika na maneno ya Allaah yanaposomwa, kitu ambacho hakipatikani katika haraka inayochukiza.
Ingawa kuswali Rak´ah kumi na moja zilizo na kisimamo kirefu na utulivu ndio bora kuliko kuswali Rak´ah ishirini zilizo na haraka inayochukiza. Kwa sababu moyo na roho ya swalah ni kuuelekeza kwa Allaah (´Azza wa Jall). Pengine kidogo kikawa chenye kheri kuliko kingi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: l-Mulakhasw al-Fiqh (01/169)
Imechapishwa: 08/05/2021
https://firqatunnajia.com/04-katika-hali-hii-kuswali-rakah-kumi-na-moja-itakuwa-bora/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)