178 – Zirr bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza:
“Walisema: “Ee Mtume wa Allaah! Ni vipi utawatambua wale ambao hujawaona katika Ummah wako?” Akasema: “Watakuwa na mabaka na viungo vyenye kung´aa, weusiweupe, kutokana na athari ya wudhuu´.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
179- Ahmad na at-Twabaraaniy pia wamepokea Hadiyth mfano wake kutoka kwa Abu Umaamah kwa cheni ya wapokezi nzuri[2].
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Nzuri na Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/187-188)
- Imechapishwa: 05/04/2021
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
178 – Zirr bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza:
“Walisema: “Ee Mtume wa Allaah! Ni vipi utawatambua wale ambao hujawaona katika Ummah wako?” Akasema: “Watakuwa na mabaka na viungo vyenye kung´aa, weusiweupe, kutokana na athari ya wudhuu´.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
179- Ahmad na at-Twabaraaniy pia wamepokea Hadiyth mfano wake kutoka kwa Abu Umaamah kwa cheni ya wapokezi nzuri[2].
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Nzuri na Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/187-188)
Imechapishwa: 05/04/2021
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-watakuwa-na-mabaka-na-viungo-vyenye-kungaa/