981- Jaabir amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm ni kinga ambayo anajikinga nayo mja dhidi ya Moto.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi nzuri pamoja vilevile na al-Bayhaqiy.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/578)
- Imechapishwa: 28/05/2018
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
981- Jaabir amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm ni kinga ambayo anajikinga nayo mja dhidi ya Moto.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi nzuri pamoja vilevile na al-Bayhaqiy.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/578)
Imechapishwa: 28/05/2018
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-swawm-ni-kinga-ambayo-anajikinga-nayo-mja/