1056- ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisafiri na akatua mahala pamoja na Maswahabah zake. Kundi la watu wakamfanyia kibanda rafiki yao ambaye alikuwa amefunga. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akampitia ambapo akasema: “Ana nini rafiki yenu? Akahisi maumivu?” Wakasema: “Hapana, ee Mtume wa Allaah, lakini amefunga.” Siku hiyo kulikuwa na upepo mkali. Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Si wema kufunga katika safari.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”.
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/616)
- Imechapishwa: 22/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1056- ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisafiri na akatua mahala pamoja na Maswahabah zake. Kundi la watu wakamfanyia kibanda rafiki yao ambaye alikuwa amefunga. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akampitia ambapo akasema: “Ana nini rafiki yenu? Akahisi maumivu?” Wakasema: “Hapana, ee Mtume wa Allaah, lakini amefunga.” Siku hiyo kulikuwa na upepo mkali. Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Si wema kufunga katika safari.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”.
[1] Nzuri na Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/616)
Imechapishwa: 22/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-si-wema-kufunga-katika-safari/