Kwa at-Tirmidhiy imekuja:
ويلٌ للأعقابِ من النَّارِ
“Ole visigino kutokana na Moto!”
220 – Imepokelewa pia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
ويلٌ للأعقابِ وبطونِ الأقدامِ من النارِ
“Ole visigino na matumbo ya nyayo kutokana na Moto!”[1]
Hadiyth hii ambayo ameiashiria at-Tirmidhiy ameipokea at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr” na Ibn Khuzaymah i ”as-Swahiyh” yake kupitia kwa ´Abdullaah bin al-Haarith bin Juz’ az-Zubaydiy, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ilihali Ahmad ameipokea moja kwa moja kutoka kwake.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/206)
- Imechapishwa: 19/01/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)