Nne ni kwamba umewatuhumu Salafiyyuun ambao wamekukemea maneno yako juu ya Maswahabah kwamba ni takataka za mafuriko na mengineyo na wakakuomba urejee katika haki – lakini ukakataa na ukaendelea kung´ang´ania – kwamba ni Haddaadiyyah. Udhahiri wa Haddaadiyyah ni kwamba wanakufurisha kwa Bid´ah moja peke yake. Wanasema kuwa ni lazima kwetu kutomuombea rehema yule mwanachuoni anayetumbukia kwenye Bid´ah moja tu na kwamba haifai kwetu kusoma vitabu vyao. Bali wanasema kuwa ni lazima pia kuchoma moto vitabu vyake. Wamekubali wenyewe kwamba wametia moto ”Fath-ul-Baariy”.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tanbiyh al-Wafiy ´alaa Mukhaalafaat Abiyl-Hasan al-Ma’ribiy, uk. 292-294
- Imechapishwa: 02/12/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)