86- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kwenda msikitini na hakuna alichokusudia zaidi ya kujifunza au kufunza jambo la kheri, basi analipwa ujira mfano mwenye kuhiji aliyeikamilisha hijah yake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” mlolongo wa wapokezi usiyokuwa na neno[2].
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Haafidhw al-´Iraaqiy amesema:
”Cheni ya wapokezi wake ni nzuri.” (2/317)
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/145)
- Imechapishwa: 01/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
86- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kwenda msikitini na hakuna alichokusudia zaidi ya kujifunza au kufunza jambo la kheri, basi analipwa ujira mfano mwenye kuhiji aliyeikamilisha hijah yake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” mlolongo wa wapokezi usiyokuwa na neno[2].
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Haafidhw al-´Iraaqiy amesema:
”Cheni ya wapokezi wake ni nzuri.” (2/317)
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/145)
Imechapishwa: 01/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-yule-mwenye-kwenda-msikitini-na-hakuna-alichokusudia-zaidi-ya-kujifunza/