86- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kwenda msikitini na hakuna alichokusudia zaidi ya kujifunza au kufunza jambo la kheri, basi analipwa ujira mfano mwenye kuhiji aliyeikamilisha hijah yake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” mlolongo wa wapokezi usiyokuwa na neno[2].
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Haafidhw al-´Iraaqiy amesema:
”Cheni ya wapokezi wake ni nzuri.” (2/317)
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/145)
- Imechapishwa: 01/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket