156 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anhum) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watu wawili wasitoke nje kwenda chooni wakaketi chini huku wakizungumza pindi wanapokidhi haja hali ya kuwa wameacha wazi nyuchi zao. Allaah huchukia jambo hilo.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi laini.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/175)
- Imechapishwa: 05/04/2021
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
156 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anhum) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watu wawili wasitoke nje kwenda chooni wakaketi chini huku wakizungumza pindi wanapokidhi haja hali ya kuwa wameacha wazi nyuchi zao. Allaah huchukia jambo hilo.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi laini.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/175)
Imechapishwa: 05/04/2021
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-watu-wawili-wasitoke-nje-kwenda-chooni/