135- ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Uislamu utashinda mpaka wafanya biashara waanze kusafiri baharini na farasi zitumiwe katika njia ya Allaah. Kisha watajitokeza watu wanaosoma Qur-aan na kusema: “Ni nani anayesoma vyema zaidi kuliko sisi? Ni nani ambaye ni mjuzi zaidi kuliko sisi? Ni nani aliye na uelewa zaidi kuliko sisi?” Akawaambia Maswahabah zake: “Je, kuna kheri yoyote kwa watu hao?” Wakasema: “Allaah na Mtume Wake ndio wanajua zaidi.” Akasema: “Watu hao ni katika nyinyi, kutoka katika Ummah huu. Watu hao ndio mafuta ya Moto.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw” na al-Bazzaar kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/166)
- Imechapishwa: 06/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
135- ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Uislamu utashinda mpaka wafanya biashara waanze kusafiri baharini na farasi zitumiwe katika njia ya Allaah. Kisha watajitokeza watu wanaosoma Qur-aan na kusema: “Ni nani anayesoma vyema zaidi kuliko sisi? Ni nani ambaye ni mjuzi zaidi kuliko sisi? Ni nani aliye na uelewa zaidi kuliko sisi?” Akawaambia Maswahabah zake: “Je, kuna kheri yoyote kwa watu hao?” Wakasema: “Allaah na Mtume Wake ndio wanajua zaidi.” Akasema: “Watu hao ni katika nyinyi, kutoka katika Ummah huu. Watu hao ndio mafuta ya Moto.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw” na al-Bazzaar kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/166)
Imechapishwa: 06/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-uislamu-utashinda-mpaka-wafanya-biashara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)