85- Zirr bin Hubaysh amesema:
“Nilimwendea Swafwaan bin ´Assaal al-Muraadiy (Radhiya Allaahu ´anh) ambapo akasema: “Kipi kimekuleta?” Nikasema: “Kutafuta elimu.” Ndipo akasema: “Hakika mimi nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema: “Hakuna yeyote mwenye kutoka nyumbani kwake kwa ajili ya kutafuta elimu isipokuwa Malaika huziweka mbawa zao juu ya mwanafunzi wakiwa ni wenye kuridhia kile anachokifanya.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy ambaye ameisahihisha, Ibn Maajah na tamko ni lake, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim aliyesema:
“Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/145)
- Imechapishwa: 29/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
85- Zirr bin Hubaysh amesema:
“Nilimwendea Swafwaan bin ´Assaal al-Muraadiy (Radhiya Allaahu ´anh) ambapo akasema: “Kipi kimekuleta?” Nikasema: “Kutafuta elimu.” Ndipo akasema: “Hakika mimi nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema: “Hakuna yeyote mwenye kutoka nyumbani kwake kwa ajili ya kutafuta elimu isipokuwa Malaika huziweka mbawa zao juu ya mwanafunzi wakiwa ni wenye kuridhia kile anachokifanya.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy ambaye ameisahihisha, Ibn Maajah na tamko ni lake, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim aliyesema:
“Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/145)
Imechapishwa: 29/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-hakuna-yeyote-mwenye-kutoka-nyumbani-kwake-kwa-ajili-ya-kutafuta-elimu/