218 – ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
لتَنْهَكُنَّ الأصابعَ بالطّهورِ، أو لتَنْهَكنّها النارُ
“Hakikisheni mnasafisha vidole kwa maji, vinginevyo Moto utahakikisha unavichoma.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw” kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” ameipokea kutoka kwa Ibn Mas´uud[2] kwa cheni ya wapokezi nzuri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Katika upokezi mwingine kwenye “al-Mu´jam al-Kabiyr” Swahabah anasema:
خللوا الأصابعَ الخمسَ؛ لا يحشوها الله ناراً
“Sugueni kati ya vidole vitano ili Allaah asivichome Moto.”[3]
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Swahiyh.
[3] Swahiyh kupitia zingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/205-206)
- Imechapishwa: 17/01/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)