1078- Zayd bin al-Juhaniy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kumfuturisha mfungaji basi anapata mfano wa ujira wake pasi na kupungua chochote katika zile thawabu za mfungaji.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy, an-Nasaa’iy, Ibn Maajah, Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” zao. at-Tirmidhiy amesema:
“Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah na an-Nasaa´iy imekuja:
“Yule mwenye kumwandaa mpambanaji au akamwandaa mwenye kuhiji au akambakilia kumwangalilia familia yake au akamfuturisha mfungaji basi anapata mfano wa thawabu zake pasi na kupungua chochote katika thawabu zao.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/623)
- Imechapishwa: 24/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1078- Zayd bin al-Juhaniy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kumfuturisha mfungaji basi anapata mfano wa ujira wake pasi na kupungua chochote katika zile thawabu za mfungaji.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy, an-Nasaa’iy, Ibn Maajah, Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” zao. at-Tirmidhiy amesema:
“Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah na an-Nasaa´iy imekuja:
“Yule mwenye kumwandaa mpambanaji au akamwandaa mwenye kuhiji au akambakilia kumwangalilia familia yake au akamfuturisha mfungaji basi anapata mfano wa thawabu zake pasi na kupungua chochote katika thawabu zao.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/623)
Imechapishwa: 24/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-yule-mwenye-kumfuturisha-mfungaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)