105- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kujifunza elimu katika yale ambayo kwayo kunakusudiwa uso wa Allaah (Ta´ala) na hajifunzi isipokuwa ni kwa lengo la kupata jambo la kidunia, basi hatopata harufu ya Pepo siku ya Qiyaamah.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud, Ibn Maajah, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim aliyesema:
“Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy na Muslim.”
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/153)
- Imechapishwa: 02/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)