202 – Imaam Abu Bakr Abiy Shaybah (Rahimahu Allaah) amesema: “Imethibiti kwetu ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
لا وضوءَ لمن لمْ يُسَمِّ اللهَ
“Hana wudhuu´ ambaye hakumtaja Allaah.”[1]
Alisema namna hiyo[2].
[1] Nzuri kupitia zingine.
[2] Mtunzi (Rahimahu Allaah) anaashiria ya kuwa hakubaliani na maneno ya Ibn Abiy Shaybah, jambo ambalo mimi sikubaliani nalo. Kwani Hadiyth inaweza kuthibiti kupitia njia nyingi, kama ilivyo katika Hadiyth hii.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/200)
- Imechapishwa: 02/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
202 – Imaam Abu Bakr Abiy Shaybah (Rahimahu Allaah) amesema: “Imethibiti kwetu ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
لا وضوءَ لمن لمْ يُسَمِّ اللهَ
“Hana wudhuu´ ambaye hakumtaja Allaah.”[1]
Alisema namna hiyo[2].
[1] Nzuri kupitia zingine.
[2] Mtunzi (Rahimahu Allaah) anaashiria ya kuwa hakubaliani na maneno ya Ibn Abiy Shaybah, jambo ambalo mimi sikubaliani nalo. Kwani Hadiyth inaweza kuthibiti kupitia njia nyingi, kama ilivyo katika Hadiyth hii.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/200)
Imechapishwa: 02/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-hana-wudhuu-ambaye/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)