202 – Imaam Abu Bakr Abiy Shaybah (Rahimahu Allaah) amesema: “Imethibiti kwetu ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
لا وضوءَ لمن لمْ يُسَمِّ اللهَ
“Hana wudhuu´ ambaye hakumtaja Allaah.”[1]
Alisema namna hiyo[2].
[1] Nzuri kupitia zingine.
[2] Mtunzi (Rahimahu Allaah) anaashiria ya kuwa hakubaliani na maneno ya Ibn Abiy Shaybah, jambo ambalo mimi sikubaliani nalo. Kwani Hadiyth inaweza kuthibiti kupitia njia nyingi, kama ilivyo katika Hadiyth hii.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/200)
- Imechapishwa: 02/01/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
202 – Imaam Abu Bakr Abiy Shaybah (Rahimahu Allaah) amesema: “Imethibiti kwetu ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
لا وضوءَ لمن لمْ يُسَمِّ اللهَ
“Hana wudhuu´ ambaye hakumtaja Allaah.”[1]
Alisema namna hiyo[2].
[1] Nzuri kupitia zingine.
[2] Mtunzi (Rahimahu Allaah) anaashiria ya kuwa hakubaliani na maneno ya Ibn Abiy Shaybah, jambo ambalo mimi sikubaliani nalo. Kwani Hadiyth inaweza kuthibiti kupitia njia nyingi, kama ilivyo katika Hadiyth hii.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/200)
Imechapishwa: 02/01/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-hana-wudhuu-ambaye/