202 – Imaam Abu Bakr Abiy Shaybah (Rahimahu Allaah) amesema: “Imethibiti kwetu ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
لا وضوءَ لمن لمْ يُسَمِّ اللهَ
“Hana wudhuu´ ambaye hakumtaja Allaah.”[1]
Alisema namna hiyo[2].
[1] Nzuri kupitia zingine.
[2] Mtunzi (Rahimahu Allaah) anaashiria ya kuwa hakubaliani na maneno ya Ibn Abiy Shaybah, jambo ambalo mimi sikubaliani nalo. Kwani Hadiyth inaweza kuthibiti kupitia njia nyingi, kama ilivyo katika Hadiyth hii.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/200)
- Imechapishwa: 02/01/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)