Ndani yake kuna sura zifuatazo:
Sura ya kwanza: Ulazima wa kumpenda Mtume na kumtukuza na makatazo ya kuchupa mipaka, kuchupa mipaka katika kumsifu, kubainisha cheo chake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Sura ya pili: Ulazima wa kumtii na kumuigiliza.
Sura ya tatu: Uwekwaji Shari´ah wa kumswalia na kumtolea salamu.
Sura ya nne: Fadhilah za watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na yaliyo ya wajibu kwao pasi na kuzembea wala kuchupa mipaka.
Sura ya tano: Fadhilah za Maswahabah na ambayo ni lazima kuamini juu yao na madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kuhusu yaliyopitika kati yao.
Sura ya sita: Makatazo ya kuwatukana Maswahabah na viongozi wa uongofu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 148
- Imechapishwa: 16/06/2020
Ndani yake kuna sura zifuatazo:
Sura ya kwanza: Ulazima wa kumpenda Mtume na kumtukuza na makatazo ya kuchupa mipaka, kuchupa mipaka katika kumsifu, kubainisha cheo chake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Sura ya pili: Ulazima wa kumtii na kumuigiliza.
Sura ya tatu: Uwekwaji Shari´ah wa kumswalia na kumtolea salamu.
Sura ya nne: Fadhilah za watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na yaliyo ya wajibu kwao pasi na kuzembea wala kuchupa mipaka.
Sura ya tano: Fadhilah za Maswahabah na ambayo ni lazima kuamini juu yao na madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kuhusu yaliyopitika kati yao.
Sura ya sita: Makatazo ya kuwatukana Maswahabah na viongozi wa uongofu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 148
Imechapishwa: 16/06/2020
https://firqatunnajia.com/00-yaliyomo-4/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)