Himdi zote anastahiki Allaah.
Nimempa idhini Shaykh Jamaal bin Furayhaan al-Haarithiy ya kuchapisha kwa mara nyingine kitabu “al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah” ambaye amekusanya majibu yangu ya maswali ya wanafunzi kupitia mikutano na durusi. Nimempa idhini ya kuchapisha kitabu pamoja na taaliki zake na nyongeza zingine ambazo hazikuwepo katika machapisho yaliyotangulia. Allaah Awaongoze [watu] wote katika haki na kuitendea kazi. Swalah na salaam zimwendee Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah
- Imechapishwa: 08/10/2016
Himdi zote anastahiki Allaah.
Nimempa idhini Shaykh Jamaal bin Furayhaan al-Haarithiy ya kuchapisha kwa mara nyingine kitabu “al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah” ambaye amekusanya majibu yangu ya maswali ya wanafunzi kupitia mikutano na durusi. Nimempa idhini ya kuchapisha kitabu pamoja na taaliki zake na nyongeza zingine ambazo hazikuwepo katika machapisho yaliyotangulia. Allaah Awaongoze [watu] wote katika haki na kuitendea kazi. Swalah na salaam zimwendee Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah
Imechapishwa: 08/10/2016
https://firqatunnajia.com/00-idhini-ya-al-fawzaan-ya-kuchapisha-na-kueneza-kitabu-al-ajwibah-al-mufiydah-an-as-ilat-il-manaahij-al-jadiydah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)