Miongoni mwa vitabu ambavyo nimeona kuhusu maudhui ni kitabu cha [Ibn Hibbaan] al-Bustiy “Rawdhwat-ul-´Uqalaa´”. Pamoja na kuwa ni kifupi ni kitabu kikubwa. Ndani yake mna faida nyingi na mapokezi matukufu kutoka kwa wanachuoni na wengineo. Chuoni kilikuwa katika selebasi wakati wangu. Wengi walinufaika nacho.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Hilyah Twaalib-il-´Ilm, uk. 194
- Imechapishwa: 13/10/2016
Miongoni mwa vitabu ambavyo nimeona kuhusu maudhui ni kitabu cha [Ibn Hibbaan] al-Bustiy “Rawdhwat-ul-´Uqalaa´”. Pamoja na kuwa ni kifupi ni kitabu kikubwa. Ndani yake mna faida nyingi na mapokezi matukufu kutoka kwa wanachuoni na wengineo. Chuoni kilikuwa katika selebasi wakati wangu. Wengi walinufaika nacho.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Hilyah Twaalib-il-´Ilm, uk. 194
Imechapishwa: 13/10/2016
https://firqatunnajia.com/00-ibn-uthaymiyn-kuhusu-kitabu-cha-ibn-hibbaan-rawdhwat-ul-uqalaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)