Swali: Je, ni lazima kwa mfanya kazi wa nyumbani kutoa Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Ni wajibu kwake kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni muislamu. Lakini je, ni lazima kwake kujitolea Zakaat-ul-Fitwr mwenyewe au ni lazima kwa watu wa nyumbani kwake kumtolea? Msingi ni kwamba yeye mwenyewe ndiye anatakiwa kujitolea. Lakini watu wa nyumbani kwake wakimtolea hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/263)
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Je, ni lazima kwa mfanya kazi wa nyumbani kutoa Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Ni wajibu kwake kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni muislamu. Lakini je, ni lazima kwake kujitolea Zakaat-ul-Fitwr mwenyewe au ni lazima kwa watu wa nyumbani kwake kumtolea? Msingi ni kwamba yeye mwenyewe ndiye anatakiwa kujitolea. Lakini watu wa nyumbani kwake wakimtolea hakuna neno.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/263)
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-ya-mfanyakazi-muislamu-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)