Swali: Kuna mtu amekufa siku ya mwisho ya Ramadhaan kabla ya kuzama kwa jua na mwingine amekufa baada ya kuzama kwa jua. Ni yupi kati ya hao wawili ambaye analazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Ambaye amekufa kabla ya kuzama kwa jua usiku wa kuamkia ´Iyd-ul-Fitwr halazimiki kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Kwa sababu zakaah inawajibika pale linapozama jua katika usiku huo ilihali yeye amekufa kabla ya kuwajibika. Ambaye amekufa baada ya kuzama kwa jua ni lazima kwake kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Kwa sababu amekufa baada ya kuwajibika.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillah bin Baz
´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (20514)
- Imechapishwa: 13/05/2020
Swali: Kuna mtu amekufa siku ya mwisho ya Ramadhaan kabla ya kuzama kwa jua na mwingine amekufa baada ya kuzama kwa jua. Ni yupi kati ya hao wawili ambaye analazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Ambaye amekufa kabla ya kuzama kwa jua usiku wa kuamkia ´Iyd-ul-Fitwr halazimiki kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Kwa sababu zakaah inawajibika pale linapozama jua katika usiku huo ilihali yeye amekufa kabla ya kuwajibika. Ambaye amekufa baada ya kuzama kwa jua ni lazima kwake kutoa Zakaat-ul-Fitwr. Kwa sababu amekufa baada ya kuwajibika.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillah bin Baz
´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (20514)
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kwa-waliokufa-katika-mwishoni-mwa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)