Swali: Inajuzu kwa yale mashirika ya Zakaat-ul-Fitwr kununua chakula katika ile siku ya kwanza ya Ramadhaan kisha kukigawanya kwa mafukara katika mwisho wa mwezi pamoja na kuzingatia kwamba wale watoaji hunuia pale inapotolewa. Je, inajuzu kuitoa kabla ya kunuia?
Jibu: Wakati wa kutoa Zakaat-ul-Fitwr ni baada ya kuandama mwezi wa Shawwaal mpaka kabla ya swalah ya idi. Inajuzu kuitanguliza siku moja au mbili kabla ya swalah ya ´iyd. Yule mtoa zakaah anapaswa kujitolea yeye mwenyewe na wale anaowasimamia na kuwapa wale wenye kuiistahiki. Pia anaweza kuwakilisha mtu anayemwamini kumtolea nayo katika wakati wake maalum. Kwa sababu ni haki ya lazima ilio juu ya dhimma yake. Haijuzu kuchukulia wepesi katika kuitoa wala kutegemea mashirika yanayochukulia jambo hilo wepesi.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillah bin Baz
´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (20514)
- Imechapishwa: 13/05/2020
Swali: Inajuzu kwa yale mashirika ya Zakaat-ul-Fitwr kununua chakula katika ile siku ya kwanza ya Ramadhaan kisha kukigawanya kwa mafukara katika mwisho wa mwezi pamoja na kuzingatia kwamba wale watoaji hunuia pale inapotolewa. Je, inajuzu kuitoa kabla ya kunuia?
Jibu: Wakati wa kutoa Zakaat-ul-Fitwr ni baada ya kuandama mwezi wa Shawwaal mpaka kabla ya swalah ya idi. Inajuzu kuitanguliza siku moja au mbili kabla ya swalah ya ´iyd. Yule mtoa zakaah anapaswa kujitolea yeye mwenyewe na wale anaowasimamia na kuwapa wale wenye kuiistahiki. Pia anaweza kuwakilisha mtu anayemwamini kumtolea nayo katika wakati wake maalum. Kwa sababu ni haki ya lazima ilio juu ya dhimma yake. Haijuzu kuchukulia wepesi katika kuitoa wala kutegemea mashirika yanayochukulia jambo hilo wepesi.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillah bin Baz
´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (20514)
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kuyapa-mashirika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)