Swali: Mwanamke huyu alimuomba mume wake kwenda ´Umrah pamoja naye, akakataa bila ya udhuru. Nikawa nimeenda pamoja na mvulana wangu na nikafanya ´Umrah. Je, ´Umrah yangu ni sahihi na ni mwenye kupata madhambi kwa kutomtii mume wangu?
Jibu: ´Umrah yake ni sahihi lakini anapata madhambi kwa kumuasi mume wake. Kwa kuwa hakumpa idhini. Anapata madhambi kwa hilo. Ama kuhusu ´Umrah ni sahihi pamoja na madhambi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mwanamke huyu alimuomba mume wake kwenda ´Umrah pamoja naye, akakataa bila ya udhuru. Nikawa nimeenda pamoja na mvulana wangu na nikafanya ´Umrah. Je, ´Umrah yangu ni sahihi na ni mwenye kupata madhambi kwa kutomtii mume wangu?
Jibu: ´Umrah yake ni sahihi lakini anapata madhambi kwa kumuasi mume wake. Kwa kuwa hakumpa idhini. Anapata madhambi kwa hilo. Ama kuhusu ´Umrah ni sahihi pamoja na madhambi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/umrah-ya-mwanamke-bila-ya-ridhaa-ya-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)