Swali: Kuna watu ambao hawaswali zile Rakaa´ mbili za Tahiyyat-ul-Masjid wakati wanapoingia msikitini. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Dogo liwezalo kusemwa ni machukizo. Tahiyyat-ul-Masjid ni wajibu kwa maoni ya baadhi ya wanachuoni kama Dhwaahiriyyah. Wanachuoni wengi wanaonelea kuwa imependekezwa.
Kwa hivyo haitakikani kwa mtu anapoingia msikitini ilihali ana wudhuu´ akaketi chini. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema katika Hadiyth Swahiyh:
“Anapoingia mmoja wenu msikitini basi asiketi mpaka aswali Rakaa´ mbili.”
Lililo dhahiri ni uwajibu. Lakini akiwa hana wudhuu´ jambo lake ni pana.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 08/04/2018
Swali: Kuna watu ambao hawaswali zile Rakaa´ mbili za Tahiyyat-ul-Masjid wakati wanapoingia msikitini. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Dogo liwezalo kusemwa ni machukizo. Tahiyyat-ul-Masjid ni wajibu kwa maoni ya baadhi ya wanachuoni kama Dhwaahiriyyah. Wanachuoni wengi wanaonelea kuwa imependekezwa.
Kwa hivyo haitakikani kwa mtu anapoingia msikitini ilihali ana wudhuu´ akaketi chini. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema katika Hadiyth Swahiyh:
“Anapoingia mmoja wenu msikitini basi asiketi mpaka aswali Rakaa´ mbili.”
Lililo dhahiri ni uwajibu. Lakini akiwa hana wudhuu´ jambo lake ni pana.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 08/04/2018
https://firqatunnajia.com/tahiyyat-ul-masjid-kwa-mtazamo-wa-wanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)