Swali: Ni lipi jukumu la muislamu aliye na wivu na dini yake kutokana na fitina ilio pambizoni mwake?
Jibu: 1- Amtake Allaah kinga kutokamana na fitina.
2- Asiingie ndani yake.
3- Amuombe Mola wake afya.
4- Ajiweke nayo mbali. Kwani katika usalama ni pamoja na muislamu kutoikaribia fitina.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 08/04/2018
Swali: Ni lipi jukumu la muislamu aliye na wivu na dini yake kutokana na fitina ilio pambizoni mwake?
Jibu: 1- Amtake Allaah kinga kutokamana na fitina.
2- Asiingie ndani yake.
3- Amuombe Mola wake afya.
4- Ajiweke nayo mbali. Kwani katika usalama ni pamoja na muislamu kutoikaribia fitina.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 08/04/2018
https://firqatunnajia.com/unayotakiwa-kufanya-ili-kujiepusha-na-fitina/