Swalah ya ´iyd inatakiwa kuswaliwa kwenye jangwa karibu na mji. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali swalah ya ´iyd katika uwanja wa kuswalia ulio karibu na mlango wa al-Madiynah. Abu Sa´iyd amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitoa katika [swalah ya] al-Fitwr na [swalah ya] al-Adhwhaa katika uwanja wa kuswalia.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Haikupokelewa kwamba aliiswali msikiti isipokuwa ilikuwa ni kutokana na udhuru.
Jengine ni kwa sababu kutoka kwenda katika jangwa kunaonyesha zaidi haiba ya waislamu na Uislamu na pia kuonesha zaidi nembo ya dini. Hakuna ugumu katika kufanya hivo kwa sababu ni ´iyd ni kitu kisichokariri kama ilivyo swalah ya ijumaa. Isipokuwa tu msikiti wa Makkah wao wanatakiwa kuswali katika msikiti Mtakatifu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mulakhaswsw-ul-Fiqh (01/268-269)
- Imechapishwa: 30/07/2020
Swalah ya ´iyd inatakiwa kuswaliwa kwenye jangwa karibu na mji. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali swalah ya ´iyd katika uwanja wa kuswalia ulio karibu na mlango wa al-Madiynah. Abu Sa´iyd amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitoa katika [swalah ya] al-Fitwr na [swalah ya] al-Adhwhaa katika uwanja wa kuswalia.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Haikupokelewa kwamba aliiswali msikiti isipokuwa ilikuwa ni kutokana na udhuru.
Jengine ni kwa sababu kutoka kwenda katika jangwa kunaonyesha zaidi haiba ya waislamu na Uislamu na pia kuonesha zaidi nembo ya dini. Hakuna ugumu katika kufanya hivo kwa sababu ni ´iyd ni kitu kisichokariri kama ilivyo swalah ya ijumaa. Isipokuwa tu msikiti wa Makkah wao wanatakiwa kuswali katika msikiti Mtakatifu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mulakhaswsw-ul-Fiqh (01/268-269)
Imechapishwa: 30/07/2020
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-iyd-inaswaliwa-viwanjani-na-si-misikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)