Swali: Ni upi usahihi wa Hadiyth:
“Allaah amrehemu mtu mwenye kuswali Rak´ah nne kabla ya ´Aswr?”
Jibu: Kinachojulikana ni kwamba imetibiti na kwamba haina neno. Kujengea juu ya haya imesuniwa kwa muislamu kuswali Rak´ah nne kabla ya ´Aswr ambapo atatoa salamu kila baada ya Rak´ah mbili. Lakini sio katika Sunnah za Raatibah.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
- Imechapishwa: 15/02/2020
Swali: Ni upi usahihi wa Hadiyth:
“Allaah amrehemu mtu mwenye kuswali Rak´ah nne kabla ya ´Aswr?”
Jibu: Kinachojulikana ni kwamba imetibiti na kwamba haina neno. Kujengea juu ya haya imesuniwa kwa muislamu kuswali Rak´ah nne kabla ya ´Aswr ambapo atatoa salamu kila baada ya Rak´ah mbili. Lakini sio katika Sunnah za Raatibah.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
Imechapishwa: 15/02/2020
https://firqatunnajia.com/sunnah-kuswali-rakah-nne-kabla-ya-aswr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)