Mimi sipingi kuwepo makundi mengi yaliyo na malengo mbalimbali. Mimi sipingi kuwepo kundi ambalo limejichukulia jukumu la kusahihisha ´Aqiydah za waislamu, uelewa wao na ´ibaadah zao na hawajishughulishi na mazoezi. Kwa hayo nasema kuwa sipingi kuwepo kwa kundi lililojichukulia mazoezi kwa lengo la kuwafanya waislamu kuwa na nguvu kimwili, kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muumini mwenye nguvu ni bora na anapendwa zaidi na Allaah kuliko muumini dhaifu – na kwa wote wawili kuna kheri.”[1]
Sipingi kuwepo kundi lililojichukulia uchumi, lingine lililojichukulia siasi na kadhalika. Hata hivyo ninashurutisha sharti moja; nayo ni kwamba hawa wote washirikiane katika mzungiko wa Uislamu na kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah. Ama kuyaacha makundi kila limoja liwe katika maeneo yake bila ya kuwafungamanisha na Qur-aan na Sunnah ina maana ya kwamba ni kukubali Ummah kufarikiana na kuona mfarakano ulio na muhuri wa Kishari´ah licha ya kuwa uhakika wa mambo jambo hilo linaenda kinyume na Qur-aan na Sunnah.
[1] Muslim (2664).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Juddah (34)
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mimi sipingi kuwepo makundi mengi yaliyo na malengo mbalimbali. Mimi sipingi kuwepo kundi ambalo limejichukulia jukumu la kusahihisha ´Aqiydah za waislamu, uelewa wao na ´ibaadah zao na hawajishughulishi na mazoezi. Kwa hayo nasema kuwa sipingi kuwepo kwa kundi lililojichukulia mazoezi kwa lengo la kuwafanya waislamu kuwa na nguvu kimwili, kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muumini mwenye nguvu ni bora na anapendwa zaidi na Allaah kuliko muumini dhaifu – na kwa wote wawili kuna kheri.”[1]
Sipingi kuwepo kundi lililojichukulia uchumi, lingine lililojichukulia siasi na kadhalika. Hata hivyo ninashurutisha sharti moja; nayo ni kwamba hawa wote washirikiane katika mzungiko wa Uislamu na kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah. Ama kuyaacha makundi kila limoja liwe katika maeneo yake bila ya kuwafungamanisha na Qur-aan na Sunnah ina maana ya kwamba ni kukubali Ummah kufarikiana na kuona mfarakano ulio na muhuri wa Kishari´ah licha ya kuwa uhakika wa mambo jambo hilo linaenda kinyume na Qur-aan na Sunnah.
[1] Muslim (2664).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Juddah (34)
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/sharti-ya-kushirikiana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)