Swali: Nina watoto wengi. Mmoja wao nimempa ngamia kwa kuwa yeye peke yake ndiye hunichungia ngamia zangu. Je, kitendo changu ni sahihi?

Jibu: Ikiwa unampa kama ujira wa kazi, ni sawa. Ama ikiwa unampa kutokana na mapenzi haijuzu mpaka uwape wote mfano wake.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20%20-%204%20-%201%20-%201436.mp3
  • Imechapishwa: 11/02/2017