Swali: Ni sharti kuiagiza mbwa kwa jina la Allaah ili kiwindwa hicho kiwe halali?
Jibu: Ndio. Akile ikiwa aliiagiza kwa jina la Allaah. Vinginevyo asile. Ukiiagiza mbwa iliyofunzwa na ukataja jina la Allaah, kula kiwindwa. Lazima yapatikane masharti mawili:
1- Wewe ndio uwe umeiagiza na si kwamba imeenda yenyewe.
2- Uiagize kwa jina la Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Ni sharti kuiagiza mbwa kwa jina la Allaah ili kiwindwa hicho kiwe halali?
Jibu: Ndio. Akile ikiwa aliiagiza kwa jina la Allaah. Vinginevyo asile. Ukiiagiza mbwa iliyofunzwa na ukataja jina la Allaah, kula kiwindwa. Lazima yapatikane masharti mawili:
1- Wewe ndio uwe umeiagiza na si kwamba imeenda yenyewe.
2- Uiagize kwa jina la Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/sharti-mbili-kuwinda-kwa-mbwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)