Swali: Nikiingia na imamu amerukuu, kisha nikasema “Allaahu Akbar”. Wakati nilipokuwa ninaenda katika Rukuu´ imamu akainuka. Je, nahesabika nimewahi Rak´ah?
Jibu: Mikono yako ikiwahi kwenye magoti kabla ya imamu kuinuka, umewahi Rukuu´. Ama akiinuka kabla ya mikono yako kufika kwenye magoti, Rukuu´ imekupita.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14221
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Nikiingia na imamu amerukuu, kisha nikasema “Allaahu Akbar”. Wakati nilipokuwa ninaenda katika Rukuu´ imamu akainuka. Je, nahesabika nimewahi Rak´ah?
Jibu: Mikono yako ikiwahi kwenye magoti kabla ya imamu kuinuka, umewahi Rukuu´. Ama akiinuka kabla ya mikono yako kufika kwenye magoti, Rukuu´ imekupita.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14221
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/ni-lini-mtu-anahesabika-kuwahi-rakaa-kwenye-rukuu__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)