Swali: Ni vipi kuoanisha kati ya amri ya kuswali Dhuhr mapema na ubora wa kuichelewesha wakati wa jua kali?
Jibu: Amri ya kuiswali Dhuhr mapema kunachukuliwa na kufasiriwa kwamba ni katika kile kipindi kisichokuwa cha jua kali. Ikiwa ni kipindi kisichokuwa cha jua kali basi aiswali mapema mwanzoni mwa wakati.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 06/02/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket