Swali: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametuamrisha kumnusuru ndugu muislamu ni mamoja amedhulumu au amedhulumiwa. Ni vipi nitamnusuru ndugu yangu mwenye kudhulumu?
Jibu: Kumnusuru kwako ndugu mwenye kudhulumu ni wewe kumzuia kuendelea kufanya hivo. Kumnusuru kwako ndugu mwenye kudhulumiwa ikiwa unaweza kumsaidia ima kwa mkono wako, pesa zako au cheo chako. Kwa sababu kila mmoja kwa kiasi cha uwezo wake. Allaah haikalifishi nafsi yoyote isipokuwa kwa kadri ya iwezavyo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
- Imechapishwa: 22/09/2022
Swali: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametuamrisha kumnusuru ndugu muislamu ni mamoja amedhulumu au amedhulumiwa. Ni vipi nitamnusuru ndugu yangu mwenye kudhulumu?
Jibu: Kumnusuru kwako ndugu mwenye kudhulumu ni wewe kumzuia kuendelea kufanya hivo. Kumnusuru kwako ndugu mwenye kudhulumiwa ikiwa unaweza kumsaidia ima kwa mkono wako, pesa zako au cheo chako. Kwa sababu kila mmoja kwa kiasi cha uwezo wake. Allaah haikalifishi nafsi yoyote isipokuwa kwa kadri ya iwezavyo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
Imechapishwa: 22/09/2022
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kumnusuru-mwenye-kudhulumu-na-mwenye-kudhulumiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)