Swali: Kuna mwanamke alijiwa na hedhi na damu ikakoma katika siku ya sita. Hakuna damu iliyoonekana tangu juwa lizame mpaka 24:00. Matokeo yake akajitwaharisha na kufunga siku ya kufuata. Siku hiyo hiyo akapata maji ya uchafu-uchafu. Je, damu hiyo inahesabika kuwa ni hedhi pamoja na kuzingatia ya kwamba damu yake humjia kwa siku saba?
Jibu: Maji ya uchafu-uchafu sio katika hedhi. Maji ya uchafu-uchafu inayomjia mwanamke baada ya kusafika hauzingatiwi kitu. ´Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii maji ya uchafu-uchafu kuwa ni kitu baada ya kusafika.”[1]
Katika upokezi mwingine:
“Tulikuwa hatuzingatii maji ya uchafu-uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”[2]
Hedhi sio maji ya uchafu-uchafu wala maji ya umanjano. Kujengea juu ya hili swawm ya mwanamke huyo ni sahihi, sawa siku ile ambayo hakuona maji ya uchafu-uchafu na siku aliyoona maji ya uchafu-uchafu. Kwa kuwa maji ya uchafu-uchafu sio hedhi.
[1] Abu Daawuud (307).
[2] al-Bukhaariy (326).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/105)
- Imechapishwa: 03/06/2017
Swali: Kuna mwanamke alijiwa na hedhi na damu ikakoma katika siku ya sita. Hakuna damu iliyoonekana tangu juwa lizame mpaka 24:00. Matokeo yake akajitwaharisha na kufunga siku ya kufuata. Siku hiyo hiyo akapata maji ya uchafu-uchafu. Je, damu hiyo inahesabika kuwa ni hedhi pamoja na kuzingatia ya kwamba damu yake humjia kwa siku saba?
Jibu: Maji ya uchafu-uchafu sio katika hedhi. Maji ya uchafu-uchafu inayomjia mwanamke baada ya kusafika hauzingatiwi kitu. ´Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii maji ya uchafu-uchafu kuwa ni kitu baada ya kusafika.”[1]
Katika upokezi mwingine:
“Tulikuwa hatuzingatii maji ya uchafu-uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”[2]
Hedhi sio maji ya uchafu-uchafu wala maji ya umanjano. Kujengea juu ya hili swawm ya mwanamke huyo ni sahihi, sawa siku ile ambayo hakuona maji ya uchafu-uchafu na siku aliyoona maji ya uchafu-uchafu. Kwa kuwa maji ya uchafu-uchafu sio hedhi.
[1] Abu Daawuud (307).
[2] al-Bukhaariy (326).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/105)
Imechapishwa: 03/06/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mfungaji-anaona-maji-ya-uchafu-uchafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)